Duniani kuna maajabu mengi,kati ya maajabu hayo ni huu mgahawa uitwao
Rock uliopo visiwani Zanzibar
uliojengwa juu ya mwamba mkubwa katika bahari ya Hindi
Mgahawa
huo ulifunguliwa rasmi mwaka jana na kuna viti 45 ambapo wateja huchukuliwa na
boti maalum kutoka pwani hadi kupata huduma katika mgahawa huo ili wasikanyage
maji wakati wakiingia kwenye mgahawa huo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni