Jumanne, Oktoba 22

ZAMASTREET: Bongofleva inalipa! hizi ni baadhi ya Picha za gari alilonunua OMMY DIMPOZ na kulisafirisha kuja Tanzania






Ni picha ambazo Ommy Dimpoz amezitoa Exlcusive kwa zamastreet.blogspot.com la hii Mark X aliyoiagiza kutoka Japan kwa gharama isiyopungua milioni 30 za Kitanzania, kuna video yake inakuja na itapatikana hapa zamastreet.blogspot.com pia
Ommy Dimpoz mara nyingi amekua mtu wa kutopenda kutangaza mali zake ila Camera za ZAMASTREET  zilikutana nae Jaffarai Car wash Mikocheni Dar es salaam na kumuomba kupata pichaz, aliruhusu iwe hivyo kwa mtu wa nguvu ndio maana hizi picha zikafika hapa.
Anakwambia pesa yote iliyotumika kulinunua hili gani ni pesa iliyotokana na muziki peke yake, muziki wa bongofleva anaoufanya Ommy……. ili kupata pichaz nyingine za Exclusive pamoja na video, pia taarifa nyingine mbalimbali endelea kufuatilia mtandao wetu.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni