Nimezaliwa Dar es salaam.. Mambo kibao nimepitia
(+vity100%) ukichangia mazingira nliyokulia nmejifunza na kuona mambo mengi.. #bangi
#pombe
hata #sigara
hayo ni mambo nmeona watu wangu wengi hata wa karibu wakitumia mfano mzuri
alikua #babaAngu
mzazi akitumia ( R.I.P) ila kuhusu Unga
Ni moja ya vitu nimekua nikiogopa sana maana hakuna hata mtu yoyote wa karibu
yangu niliyeona akitumia, zaidi nilichoona ni wote waliotumia hamna hata mmoja
kati yao alietumia hayo madawa akafanikiwa.. nachohitaji kuwajulisha watu wangu
wote ni kwamba imani yenu kwangu kuhusu kijitambua isishuke kwa chochote
mtakaacho sikia ila zote zinaweza kua FUnunu tu! Stay tune.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni