Ney wa Mitego ambae ni staa wa
single za ‘muziki gani’ na ‘salamu zao’ amethibitisha kupewa barua na baraza la
sanaa Tanzania
ikiwa ni onyo la kutoendelea kuvaa suruali mlegezo kwenye majukwaa mbalimbali
anayoonekana. Kwenye interview yake na ZAMASTREET.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni