Taarifa zilizopo kwa sasa, zinaeleza
kuwa Balozi Issac Abraham Sepetu ambaye pia ni Baba mzazi wa Miss Tanzania
2006,Wema Sepetu.Amefariki Dunia asubuhi ya leo kwenye hospitali ya TMJ
mikocheni alikua akisumbuliwa kwa ugonjwa wa kisukari na kiharusi…
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni