Kampuni ya GS1 TANZANIA leo imeweza kumkabidhi
PROF JAY msanii wa Hip Hop nchini na mkongwe katika mziki huu wa nyumbani
BARCODE ili kuweza kutanua zaidi soko lake la biashara. Prof Jay mbali na
uwimbaji pia anamiliki studio yake mpya inayoitwa MWANALIZOMBE pamoja na saloon
ya kiume ya kunyoa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni