Hii
ni kali ya mwaka imegundulika kuwa Kanye West na Kim Kardashiam wamekubaliana
kusign mkataba ambao endapo wataoana kwa ndoa hivi karibuni basi kila mtu
atakuwa na mali zake kivyake ili endapo wakiachana wasigawane mali jambo ambalo
huleta vita sana katika mahusiano ya ndoa endapo
yatavunjika.....Katika hilo watakuwa na account moja tu ya kuendesha familia ambayo watakuwa wanachangia ...Je wewe walionaje hilo ? linafaa hapa Bongo ?
yatavunjika.....Katika hilo watakuwa na account moja tu ya kuendesha familia ambayo watakuwa wanachangia ...Je wewe walionaje hilo ? linafaa hapa Bongo ?
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni